Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
Hizi hapa nafasi za kazi kutoka Tume ya Utumishi wa mahakam June mwaka huu 2025
Available Job Vancancies
NO. | KADA | NAFASI | KITUO CHA KAZI | CLOSING DATE | |
---|---|---|---|---|---|
1 | CIVIL TECHNICIAN II (CARPENTER) | Nafasi 3 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
2 | CIVIL TECHNICIAN II (PAINTER) | Nafasi 3 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
3 | TECHNICIAN II (ELECTRICAL) | Nafasi 4 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
4 | TECHNICIAN II (PLUMBING) | Nafasi 6 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
5 | TECHNICIAN II (AIR CONDITION (HVAC) | Nafasi 10 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
6 | TECHNICIAN II (WELDING AND FABRICATION TECHNICIAN) | Nafasi 2 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
7 | MSAIDIZI WA OFISI | Nafasi 42 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
8 | MLINZI | Nafasi 3 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
9 | DEREVA II | Nafasi 33 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
10 | MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA II | Nafasi 46 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
11 | AFISA MWENDESHA OFISI DARAJA II | Nafasi 5 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
12 | MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU II | Nafasi 80 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
13 | MPISHI | Nafasi 8 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
14 | MSAIDIZI WA MAKTABA II | Nafasi 5 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
15 | MKUTUBI II | Nafasi 2 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
16 | OPERETA WA KOMPYUTA MSAIDIZI | Nafasi 8 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
17 | OPERATA WA KOMPYUTA II | Nafasi 5 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
18 | MSAIDIZI WA HESABU II | Nafasi 10 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
19 | AFISA UTUMISHI II | Nafasi 10 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 | Apply |
20 | HAKIMU MKAZI II | Nafasi 46 | Mahakama ya Tanzania | Tuesday 17 June 2025 |
Mimi
Fani Yangu ni Dereva
Nimeona kazi ya fani Yangu katika tovuti yenu.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 35 ninanguvu bado ya kukimbizana na hali ya uchumi wa sasa
Nina uzoefu wa kutosha katika fani hii ya Udereva usiopungua miaka 20 sasa.
Nina viambatanishi na vigezo vya fani hii ya udereva
Asante ..
Wenu katika hili
Benard Tawete