Majina ya walioitwa kazini UTUMISHI 2025
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 10-09-2024 na tarehe 24-02-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili.
Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.
Wasailiwa wote waliofaulu usaili na kupangiwa vituo vya kazi, BARUA zao za kupangiwa vituo vya kazi watazipata kupitia AKAUNTI zao za Ajira Portal kwenye sehemu ya My Applications, hivyo watapaswa kupakua na kutoa nakala (Download and Print) barua hizo na Kwenda nazo kuripoti katika vituo vya kazi walivyopangiwa. Aidha,
waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa
na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira.
Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.
Β TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 13-05-2025
READ THIS:
Naomba kazi Mimi ni mdau wa C.W.T pia nimefungua tawi LA C .W.T chuo cha SAUT-MWANZA
Naomba kazi Mimi ni mdau wa C.W.T pia nimefungua tawi LA C .W.T chuo cha SAUT-MWANZA tarehe 06/06/2024
Naomba kazi Mimi ni kada ya maendeleo ya jamii level five
Naomba kazi na mda mrefu sana mtaani nmechoka mimi ni HEALTH ASSISTANT.
UNAPATIKANA MKOA GANI
Pongezi Kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania iliyoko madarakini, Kwa namna ambavyo mmejitahidi kuajiri hasa Katika sekta ya afya na elimu, Mungu akupe maisha maerefu mweshimiwa DR SAMIA SULUHU HASSAN na wasidizi wako, richa ya kwamba hamuwezi kutuajiri wote, binafsi naipongeza sana Sana serikali Yangu . Ikiwapendeza walimu wote waliokaa mtaani Muda mrefu wapewe kazi.
serikali yetu sikivu tunaamini ipo siku walimu wote tutaajiriwa,tunaomba mtuangalia kwa namna ya pekee hasa walimu wale tuliomaliza kuanzia 2015 ,2016.wengi umri unakwenda ,bado wapo wapo TU mtaani
Yaani Mungu atusaidie tupate tunasubiri tu kuona majina π
Job mwalimu
Serikali yangu sikivu, naomba kazi,nikafundishe watoto ili watimize ndoto zao
I advise to you.
Tunaomba serikali itukumbuke mimi toka nimemaliza chuo 2015 nimehangaika saana mtaani kugumu
Nimesoma Health assistant
HONGERA NYINGI KWA SERIKALI YETU PENDWA KAZI YENU NI NJEMA, MUNGU AWAONGIZE VYEMA KATIKA KULITUMIKIA TAIFA HASA KUJALI MASRAHI YA VIJANA KWANI NDIO NGUVU KAZI YA TAIFA LETU. MSITUSAHAU KATIKA KUTUPATIA AJIRA PINDI NAFASI ZINAPOPATIKANA KWANI UHITAJI WETU NI MKUBWA SANA. ALL IN ALL GOD BLESS TANZANIA, BLESS OUR PRESIDENT OUR LOVELY MUMY SAMIA SULUHU HASSAN.
I need a work iam community development officer
Vijana acha unafiki mnapongeza nawati hamjapewa ajira., uchawa utawaponza
I need a work. I am a teacher
https://1xbetlklogin.com/
Naomba kazi,mwalimu daraja la 3A,
Ni mwaka wa 8 huu duu jamani. Serikali ituangalie kwa jicho la huruma basi ππ
Mungu atie wepesi jamaniiii
April 26 2025
Naomba kazi mimi ni records management assistant nipo mkoa wa Dar es Salaam nina miaka 8 sasa hivi sijapata kazi duuh niangalie jicho la piliππ
Naomba kazi Mimi ni kada ya maendeleo ya jamii level five