May 16, 2025

8 thoughts on “Nafasi za kazi Jeshi la Wananchi Tanzania JWTZ 2025

  1. Ni njia ipi tunatumia kutuma maombi haya maana mara ya kwanza tulituma kwa kutumia posta nq awamu hiii tunatumq kwa kutumia njia zipi

  2. My comment on this I take that opportunity to congradurate all Tanzanian leader’s for your good job you have done and nice supervised. So I would like to join with you. Thank you

  3. Malik Hamad khatibu
    S.L.P 4545
    MTONI KIDATU
    2/5/2025
    MKUU WA UTUMISHI JESHINI,
    MAKAO MAKUU YA JESHII,
    S.L.P 194
    DODOMAA
    Ndugu
    Y.A.H : MAOMBI YA NAFASI YA JESHI
    Tafadhali husika na mada iliyo hapo juu.
    Mimi MALIK HAMAD KHATIB kijana mwenye umri wa miaka 23 mkazi wa MTONI KIDATU Nilie hitimu elimu yangu kidato Cha nne mwaka 2024 nikiwa na passi masomo yangu kiswahili C. DINI C. n.k
    Kwa mujibu wa tangazo mulilolitoa naomba kuandikishwa nafasi ya hiyo ya kuandikishwa JESHINI
    Mie ni mtanzani na nimekidhi sifa zote zilizo orodheshwaa katika tangazo Hilo na nnaahidi kililinda taiga langu katika hali yoyote na mahali popote ndani ya nchi yangu
    Nina Imani ombili langu litakubakiwaa .
    Wako katika mkuu wa JESHINI
    M.H.KHWATIB
    0679505342.
    Namba ya nida
    20021005-71111-00001-26
    Nimezaliwa 2002/5/10

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *