Majina ya walioitwa kazini Wizara ya Afya 2025
Katibu Mkuu Wizara ya Afya anapenda kuwataarifu waombaji wote waliofaulu usaili wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na kupangiwa kuripoti Wizara ya Afya kwamba, waripoti katika Ukumbi wa Taasisi ya Afya na Sayansi Shirikishi, Mirembe DODOMA ( DIHAS) ili kukamilisha taratibu za ajira kama tarehe zinavyoonesha kwenye tangazo. Waajiriwa wote wanatakiwa kufika na vyeti halisi (Original) nakala 2 kwa kila cheti ambacho kilitumika wakati wa kuomba ajira ikiwa ni pamoja na: